Business Plan Competition

Business Development Gateway - An initiative of the Tanzania Private Sector Foundation

Unakaribishwa kushiriki katika Shindano la Kitaifa la Mpango wa Biashara (BPC) mwaka 2010-2012, inayoandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafi Tanzanaia-Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) kupitia Programu ya Business Development Gateway (BDG)-Fanikiwa Ki-biashara. Kabla ya kuendelea hakikisha kwamba unatimiza mambo yafuatayo:

  • ninalo wazo la biashara linalotekelezeka
  • ninapenda kuongeza elimu na ujuzi wangu wa biashara
  • nipo tayari kutumia ushauri wa Wataalamu wa biashara
  • Ninahitaji fedha za mtaji wa kutekelezea wazo langu la biashara
Iwapo unatimiza mambo yote manne, basi upo katika sehemu sahihi.

Mashindano ya Mpango wa Biashara (BPC) yanawasaidia Wajasiriamali wa Kitanzania waliopo na wanaopenda kutekeleza mawazo yao ya biashara na pia yanawapa fursa kushiriki katika mafunzo ili kuongeza elimu na ujuzi wa biashara. Kwa wale watakaojiunga na BPC kuna nafasi ya kushinda moja ya zawadi za fedha zaidi ya 400 zinazoanzia Dola za Marekani 2,000/= mpaka 16,000/=.

Check my eligibility

++ LATEST NEWS ++ LATEST NEWS ++ LATEST NEWS ++

BPC 2011 - 2012 WELCOME NOTE!

Welcome to the final cycle of the BDG Business Plan Competition. Application Forms are currently available through all the regional offices of Small Industries Development Organization (SIDO) in Tanzania Mainland and those of the Zanzibar National Chamber of Commerce, Industry and Agriculture/Zanzibar Institute of Finance Administration for applicants from Zanzibar and Pemba.  read more »

HOME | SITEMAP | CONTACT | All information and services on this site © 2009 TPSF | Site by TTC